Recent News and Updates

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yapata Nafasi ya Uongozi wa Kamati ya Uongozi wa Bureau ya STC

Kufuatia ajenda za mkutano wa Kawaida wa Mawaziri wa Fedha, kulifanyika uchaguzi wa Kamati ya Ungozi ya Bureau ambapo Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepata nafasi kuwa Makamu Mwenyekiti wa Kwanza kwenye Kamati ya Uongozi wa… Read More

Ushiriki wa Tanzania Kwenye Mkutano wa Kawaida wa Kamati ya Mawaziri wa Sekta ya Fedha.

Tarehe 29 Septemba Hadi tarehe 3 Oktoba, 2025 Johansburg, Afrika Kusini unafanyika mkutano wa Kawaida wa Kamati ya Mawaziri wanaosimamia masuala ya Fedha Uchumi na Utengamano (8th Ordinary Session of the STC on Finance, Monetary… Read More

Waziri Kombo amwakilisha Rais Samia katika kikao cha Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabiti Kombo, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika Mkutano wa 1303 wa Baraza la Amani na… Read More

VISA

Details for visitors on how to apply for a visa to the United Republic of Tanzania.

Tanzania Citizen Services

Emergency services, passport guidance, and benefits details for Tanzania citizens in Ethiopia

Business Opportunities

Information on doing business, trade and investments in the Tanzania and in Ethiopia